UJUMBE WA SIMU TOKA KWA DR. SLAA AKIKIRI KUMILIKI KADI YA CCM


Haya yanajitokeza mara baada ya katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa, itikadi na Uenezi Nape Mnauye, mnamo disemba 2 mwaka huu (2012) alipokuwa akifungua Mkutano mkuu wa Halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Nyamagana kurusha kombora kuwa vigogo wengi ndani ya CHADEMA kuwa wana kadi za CCM na wengine wanaendelea kuzilipia jambo linalothibitisha unafiki walionao viongozi wengi wa upinzani nchini.

“Kama nasema uongo, Babu Dk. Slaa ajitokeze aseme kadi yake ya CCM aliirudisha lini na kumkabidhi nani. Lakini ninayo orodha ya vigogo wa CHADEMA ambao huja kulipia kadi zao za CCM kila mara. Huu ni unafiki mkubwa” alisisitiza Nape.

Sasa katika kujibu mapigo kwa alichosema Nape huu ndiyo ujumbe wa Dr. Slaa:- 





Posted by Bigie on 11:09 PM. Filed under , , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.