UPDATE: JOHN MNYIKA ASHINDA RUFAA YA KUPINGA USHINDI WAKE KATIKA JIMBO LA UBUNGO


Mbunge wa jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam, John Mnyika, ameshinda rufaa ya kupinga ushindi wake wa Ubunge katika jimbo hilo.

Hiyo ni baada ya aliyekuwa mpinzani wake kwenye uchaguzi wa mwaka 2010 Hawa Nghumbi(CCM) aliyekata rufaa dhidi ya matokeo ya ushindi wa Mnyika kuondoa rufaa yake asubuhi ya leo.

Kesi hiyo ilikuwa ikisikilizwa na jopo la majaji watatu wa mahakama ya rufani.

Posted by Bigie on 12:28 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.