DULLY SYKES AOMBA RADHI MASHABIKI WAKE KUFUATIA TUHUMA ZA KULAWITI MTOTO ZINAZOMKABILI BAUNSA WAKE


BAADA ya tuhuma chafu zinazomkabili baunsa wa msanii Dully Sykes , anayefahamika kama Arafat Ngumi Jiwe, za kumlawiti mtoto, sasa msanii huyo ameamua kuwambia mashabiki wake kuwa amesitishwa na ishu hiyo kwani alikuwa hajui kama jamaa ana tabia hiyo chafu hivyo anawasihi watanzania wote kujua kwamba hajui lolote juu ya hilo na kwa sasa hawezi kuendelea kufanya naye kazi ili kujitoa kwenye ishu hiyo chafu.

 

Tuhuma za baunsa huyo kumlawiti mtoto zinaweza kuwa na picha mbaya kwa msanii huyo kwani watu wamemfahamu bausa huyo kupitia Dully, hivi sasa anatafuta mtu mwingine ambaye anaweza kuchukua nafasi hiyo.

Posted by Bigie on 7:02 PM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.