HII NI AUDIO MPYA YA AVRIL AMBAYE AMEWATAKA MAHABIKI WAKE WAMSAIDIE KUIPA JINA


Mrembo Avril wa Kenya yupo njia panda. Ana hii ngoma kali anataka kuiachia lakini hajui aipe jina gani. So anataka wewe shabiki wake umsaidie kuupa jina wimbo huu.


“Morning Fam, I’m in a dilemma. Tryin to get a title 4 my next release, can u help? Have a listen, let me know, “ametweet.

“Hope you enjoyed this one. Still not sure what to call this song..have a listen and if you can drop me a suggestion here or on @avrilkenya – Twitter or Avril_Kenya – Facebook. Thank you fam.”

HII NDO  AUDIO  YAKE  MPYA

   


Kwamtazamowangu naona ni bora  "SITAKI MWINGINE"

Posted by Bigie on 11:45 PM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.