LADY JAYDEE AINZA RASMI SAFARI YAKE YA KUUPANDA MLIMA KILIMANJARO


403614_10151070075205025_209269448_n
Muimbaji mkongwe nchini Tanzania, Judith Mbibo aka Lady Jaydee leo anaanza rasmi safari yake ya kupanda Mlima Kilimanjaro.

Akitoa ratiba yake ya leo kupitia website yake, Jide amesema:
Vitu muhimu vilivyoandaliwa kwa safari yakeVitu muhimu vilivyoandaliwa kwa safari yake
jide 3
jide 1

Tunaondokea Marangu Gate saa 3:00 asubuhi.Jumatatu ya tar 7 January 2013.

Mtiririko wa picha zaidi utakuwa unakujia kadri safari itakavyokuwa.Kama kutakuwa na network juu ya mlima. Nita post....


Nifuate twitter kwa matukio live, hatua kwa hatua.Twitter.com/jidejaydee ndio anuani yangu.

Tunamtakia Jide safari njema ya kuupanda Mlima Kilimanjaro.

Posted by Bigie on 11:18 PM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.