LADY JAYDEE NA MUME WAKE WAENDELEA VYEMA NA SAFARI YA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO....



Jana Lady Jaydee akiwa na mumewe Gadner G Habash walianza safari yao ya kuupanda mlima Kilimanjaro kwa kupitia njia ya Marangu.Safari hiyo ya siku sita inaongozwa na kampuni ‘Kilidove Tours and Safaris Ltd’ ya Arusha.


Wengine wanaoongozana nao ni mpiga picha wake Justin Bayo.
Picha ya pamojaPicha ya pamoja
Lady Jaydee akisalimiana na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya KINAPA Erastus Lufungilo kabla ya kuanza safari.Lady Jaydee akisalimiana na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya KINAPA Erastus Lufungilo kabla ya kuanza safari.
Lady akiwa kweye ofisi ya Mhifadhi mkuu wa KINAPALady akiwa kweye ofisi ya Mhifadhi mkuu wa KINAPA
Wakijiandaa na safariWakijiandaa na safari
DSC_0550
Lady Jaydee akiwa na mumewe GadnerLady Jaydee akiwa na mumewe Gadner
Jide na mpiga picha wakeJide na mpiga picha wake

Posted by Bigie on 4:02 AM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.