MH. JOSEPH MBILINYI AZINDUA RASMI INTERNET CAFE YA IZZO B
habari za kitaifa, izzo b, sugu 6:09 AM
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu leo alikuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa internet cafe ya rapper Emmanuel ‘Izzo B’ Simwinga.
Ofisi hiyo iitwayo Izzo Bizness Internet Cafe & Secretarial Bureau ipo TEKU University jijini Mbeya.








