NIKKI MBISHI NA NIKKI WA PILI WAZINGUANA TENA....



Tulidhani beef kati ya Weusi na Nikki Mbishi imeisha kumbe ndio kama inaanza upya tena! Kupitia mtandao wa Twitter leo, Nikki wa Pili na Nikki Mbishi ambao wote wanasifika kwa uandishi mkali wa mashairi ya Hip Hop wametupiana vijembe vya kizushi.


Alianza Nikki wa Pili aliyeandika:
Nikk 1
Nikki Mbishi alijibu:Nikk 2
Baada ya mlolongo mrefu wa vijembe kutoka kwa Mbishi hii ni miongini mwa tweet inayoonekana kuwaendea tena Weusi:

Mi nikimchana mtu namtaja jina ila wao wakimchana mtu wanazunguka vichakani kutwa nzima…hahahhaa…waoga bwana..am off the hook yow..

Posted by Bigie on 1:25 AM. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.