ASKARI MWINGINE AGONGWA AKIONGOZA MSAFARA WA SPIKA WA BUNGE

Majira ya saa tisa alasiri, mtu mmoja aliyetambuliwa kuwa ni Mhadhiri wa Chuo cha Usimamizi wa fedha, IFM, Ramadhani Abdi amemgonga kwa gari PC Mbanya aliyekuwa akiongoza magari ya msafara wa Spika wa Bunge, Anne Makinda, na kusababisha askari huyo kuvunjika mguu wa kushoto na mkono wa kushoto.

Posted by Bigie on 12:33 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.