" FILAMU ZA NUSU UCHI ZINATUHARIBIA SOKO"...JENGUA


NGULI wa filamu za Kibongo, Mohammed Fungafunga ‘Jengua’ amewafungukia baadhi ya wasanii wa kike wanaofanya filamu za nusu uchi kuwa zinawaharibia soko la tasnia hiyo kwani wakati mwingine wazazi hushindwa kununua kuhofia kuangaliwa na watoto wao.

Akizungumza na Risasi , Jengua alisema kuna baadhi ya wasanii wameshazoeleka kwa filamu hizo kiasi kwamba wazazi wanachenga kuzinunua ili kutowaharibu watoto wao.

“Hivi jamani hutuwezi kutengeneza filamu bila kuweka hayo mambo ya utupu? Mbona sisi wazee tunacheza filamu bila kuwa na huo utupu lakini bado tunaendelea kuwa na mashabiki wengi na filamu zetu zinanunuliwa? Tukiendelea hivi tusishangae pale ambapo filamu zetu zitadunda sokoni,’’ alisema Jengua.

Posted by Bigie on 11:36 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.