HACKERS WAIBOMOA WEBSITE YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM -( UDSM ) NA KUJAZA MATANGAZO YA NGONO
habari za kitaifa 1:15 PM
Leo mchana, mtandao wa chuo kikuu cha Dar es salaam uliingiliwa na mahackers na kujazwa matangazo ya ngono.....
Matangazo hayo machafu yalikuwa yamewekwa Chini ya picha ya mkandala kwenye welcoming note ya vice chancelor......
MWONEKANO WA MCHANA
Mpaka mida ya saa tano usiku mtandao huo wa chuo maarufu haukuwa hewani .....( www.udsm.ac.tz/ )
MWONEKANO WAKE MIDA HIYO
UPDATE:
Kwa sasa mtandao huo uko hewani tena
Kwa sasa mtandao huo uko hewani tena







