HII NDO RIPOTI YA UBOVU WA MATOKEO KIDATO CHA NNE ILIYOKUWA IMEFICHWA
Posted by Bigie
habari za kitaifa
8:48 AM
Ni Ripoti ya utafiti iliyokuwa commissioned na ofisi ya Waziri Mkuu kuchunguza matokeo mabaya ya Kidato cha Nne mwaka 2010 ambayo ilitoka mwaka 2011.
- Ajabu ni kwamba ripoti hii haikufanyiwa kazi na mwaka huu Ofisi hiyohiyo ya Waziri Mkuu imeunda kamati nyingine kuchunguza tatizo hilohilo!
Sijui tunaelekea wapi?
Watanzania, bila kujali tofauti zetu kisiasa tusikubali mambo kama haya. Ni kuchezea raslimali zetu na hatari kwa vizazi vyetu na mustakbali wa Taifa letu.
Bofya hapa Kuisoma na kuidownload
Jamiiforum

Posted by Bigie
on 8:48 AM.
Filed under
habari za kitaifa
.
You can follow any responses to this entry through the
RSS 2.0