"SIWAOGOPI MATAIRA WANAONIPONDA....MUNGU PEKEE ANAWEZA NA SI HAO TUMBIRI".....HII NI KAULI YA DIAMOND
habari za kitaifa 11:47 AM
Watu kadhaa wamekuwa wakimponda Diamond baada ya kwenda LONDONI kwa madai kuwa ni mshamba wa jiji na limbukeni ....
Madai hayo yamekuja baada ya msanii huyu kuanza kuyashobokea magari ya kifahari kwa kupiga nayo picha na kuzirusha hewani.....
Baada ya kuona mizengwe ya watu imekuwa mingi, Diamond ameamua kuwajibu kwa kupost jumbe huu







