MPENZI WANGU AKITONGOZWA HUNIAMBIA NA KU "FOWARD" MESSAGE KWANGU...JE HII NI SAWA?


 -Wadau  Naomba mnipe mwongozo kwa hili la mpenzi wangu.

 -Kuna mambo mawili yamejitokeza hv karibuni:

 - kwanza, juzi alinipigia simu[hatuko mkoa mmoja, anasoma] na katika maongezi akasema kuwa X-boy wake kampigia simu nanukuu.."eti kanipigia simu, nikamuuliza leo umekumbuka nini?....akaniambia eti anakuja huku[alipo huyu demu] mm nikamwambia nasafiri, sitakuwepo"

  -Pili, jana kaniambia "mpenzi kuna sms zinachekesha...ngoja nikuforwadie...sms 1 ilisomeka "nakuhitaji"....


Sms ya Pili ipo hivi.."leo umependezaa, nataka nije kwako"..hizi sms anadai katumiwa na mshikaji anayeonyesha kumtaka kimapenzi

    -Hapa najiuliza ana maana gani kwa haya?


Udaku specially

Posted by Bigie on 7:36 PM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.