MWANAMKE MPUMBAVU HUIVUNJA NDOA YAKE MWENYEWE NA SERIKALI PUMBAVU HUBOMOA NCHI"... MH. SUGU


Wakati akichangia bajeti ya PM, Mh Mbilinyi ametumia lugha kali sana dhini ya serikali na Mwigulu Nchemba akazua ubishi mkubwa kati yake na Speaker..

Ameanza kwa kusema kuwa "Mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake mwenyewe" na hivyo hivyo serikali pumbavu hubomoa nchi.

Akiwa  na  jaziba  nyingi, Joseph Mbilinyi 'sugu' amemchanachana Mwigulu kuwa ni mpumbavu na kudai  kuwa anafanya dili alafu anatumia m-pesa...

Baada  ya  kumvaa  Mwigulu, Sugu  alimgeukia waziri wa elimu Mulugo na  kudai  kuwa ana elimu ya kuungaunga na ni chenga tupu...


Sugu  anadai  kushangazwa  na  tabia  ya  usalama  wa  taifa  kuifuatilia Chadema na kung'oa watu kucha na meno. 

Pamoja na kukalishwa mara mbili na spika ili atumie lugha ya staha bado aliendelea

Posted by Bigie on 11:17 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.