TAARIFA FUPI KUHUSU FAINI NA KIFUNGO KWA WASIOSAJILI LAINI ZA SIMU NCHINI TANZANIA

Hii  ni  taarufa  fupi  toka  TCRA  walipoongea  na  clouds  Fm  kuhusu  watanzania  ambao  hawajasajili  line  zao  za  simu......

Kama  hujasajili  line  yako  ya  simu, Adhabu  yake  ni  kifungo  cha  miezi  mitatu  jela, au  faini  ya  Milioni  5  za  kitanzania  au  vyote  kwa  pamoja
.

Posted by Bigie on 7:56 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.