UPDATE MPYA: HALI BADO NI MBAYA HUKO TUNDUMA...WAKRISTO WANAWAPIGA HATA WATOTO WADOGO WENYE HIJABU


Habari za za hivi punde toka  kwa  mdau  aliyeko Tunduma mkoani Mbeya  zinaeleza kuwa hali bado  ni  mbaya  na  watu  wamejifungia  ndani.... ndugu waislam nao wamenza kulipiza kisasi .
Mchungaji mmoja anaripotiwa kuwa na  hali mbaya baada ya kupigwa sana....
 Wakristo nao wanawapiga hata watoto waliovaa hijabu toka shuleni ....
Viongozi wa serikali wote wapo Tunduma. hali ni mbaya FFU wamezagaa mtaani wakiona mko zaidi ya watu wawili mnapigwa bomu, ....
Hadi sasa ile sehemu ambayo ina watu muda wote hakuna hata mdudu barabara zote kuu zimejaa maaskali. 
Kama hujanunua mahitaji ya nyumbani leo unalala njaa

Posted by Bigie on 7:55 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.