VIDEO YA JINSI WIZI UNAVYOFANYIKA MCHANA KWEUPE...!!!

Video iliyopachikwa hapo chini inawaonesha wakazi wa eneo la Korogocho katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi wanavyokwapua pochi za wapita njia, hasa siku ya Jumapili.

Wanahabari wa kitu cha NTV walitega kamera zao katika eneo hilo na kunasa vitendo hivyo na kuwahoji sababu za kufanya hivyo. Tizama na pata majibu ya yaliyojiri.

Posted by Bigie on 10:23 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.