VIFURUSHI VYA STARTIMES VYAPANDA MARA DUFU


Ikiwa ni miezi minne tu imepita toka tulipoingia rasmi kwenye mfumo dijitali (digital system) kwa vituo vya televisheni.. Startimes wamepandisha gharama ya vifurushi.. 
Kile kilichokuwa kinauzwa Tshs. 9,000 sasa kitauzwa Tshs. 10,000.. 
Kile cha Tshs. 18,000 sasa kitakuwa Tshs. 20,000.. Kile cha Tshs. 36,000 sasa kitakuwa ni Tshs. 40,000.. Itaanza rasmi tarehe 15 April..
TCRA waliahidi mambo  mengi  mazuri kwenye mfumo dijitali..Ahadi  yao  imegeuka  na  kuwa  ndoto.....

Vifurushi  vinapanda  huku  huduma  ikiwa  ni  mbovu  hasa  kwa  hawa  Startimes

Posted by Bigie on 12:09 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.