WEBSITE YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA YABOMOLEWA NA MAHACKER



Kinachooneka  ni  kwamba baadhi ya   Ma  IT  wa  nchi  yetu  ni  wazembe na  kwamba  wapo  kushibisha  matumbo  yao...!!!

Siku  za  hivi  karibuni  kumekuwa  na  mfululizo  wa  matukio  ya  aibu  ya  kuingiliwa  kwa  mitandao  mikubwa  ya  kiserikali....

Cha kushangaza  ni  kwamba, viongozi  wamefumba  macho....Kazi  yao  kuu  ni  kushughulika  na  kundi  ama  watu  wanaowapinga.....Hii  ni  aibu

Posted by Bigie on 6:03 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.