YUSUPH MANJI ATAJWA KWENYE ORODHA YA WATU WANAOFICHA FEDHA NJE YA NCHI


Muungano wa kimataifa wa uandishi wa habari za uchunguzi, ICIJ, umemtaja mfanyabiashara maarufu wa Tanzania, Mehbub Yusufali Manji maarufu kama Yusuf Manji kuwa ni miongoni mwa watu wanaoficha fedha nje ya nchi.
Katika ripoti hiyo, ICIJ umeandika:

Details: The Manji family is one of the richest in Tanzania. It started Quality Group Limited, the country’s major conglomerate with interests ranging from automotive to food processing.

Offshore business: Director and shareholder of Intertrade Commercial Services Inc. (2007-2009) in the British Virgin Islands.

Comment: Yusuf Manji, chairman and CEO of the company, did not reply to ICIJ’s emailed request for comment. The contact address in the records is that of the company in Dar es Salaam.

Kusoma ripoti yote bonyeza HAPA

Posted by Bigie on 4:02 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.