ADAM MCHOVU ATUPIA PICHA ZA UCHI ZA LADY JAYDEE.....WATU WAMSHAMBULIA KWA MATUSI


Kutoka facebook muda huu Acc ya Adam Mchomvu imepost hivi nanukuu " Picha za uchi alizopiga Lady Jay D bofya hapa" then akaweka link, ambayo binafsi sijaielewa na  sikuona umuhimu wa kuifungua.

 Account hii inayotumia jina la Adam Mchomvu sijajua kama ni yake ama fake ..

Na kama ni  yake sijajua kama  wame hack wakaandika au ameandika yeye mwenyewe

COMMENT ZA WADAU:


Posted by Bigie on 1:38 AM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.