LIL WAYNE AZIDIWA NA KULAZWA TENA



Lil’ Wayne amelazwa tena hospitali kutokana na kushambuliwa na kifafa. Kulazwa kwake kumekuja wiki kadhaa baada ya kulazwa tena kwa tatizo kama hilo.



Mtandao wa TMZ umeripoti kuwa Wayne alipekwa hospitali ya Cedars-Sinai juzi usiku na walinzi wake ambako alitibiwa na kutolewa jana.

Posted by Bigie on 3:55 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.