MSIKILIZE JUMA NATURE AKIZUNGUMZIA BIASHARA YAKE YA NDALA


Suala la mtangazaji wa EATV Sam Misago kumtoa nje ya studio Juma Nature kutokana na kuvaa ndala, limemsaidia kiongozi huyo wa Wanaume Halisi kuanzisha biashara mpya, ya ndala.
408926_316227358428392_2024435435_n
Akiongea na XXL ya Clouds FM, Nature amesema tayari ameshasaini mkataba na kampuni moja kuanza kuuza ndali hizo ziitwazo Halisi na wiki ijayo zinaweza kuingia mtaani.
Msikilize zaidi hapa.

Posted by Bigie on 7:53 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.