WAARABU WATATU WALIOHUSISHWA NA MLIPUKO WA BOMU KANISANI WAMEACHIWA HURU

Raia watatu wa UAE waliokuwa wamekamatwa wakikuhusishwa na tukio la mlipuko wa Bomu huko Arusha wameachiwa  huru  na  wamesharejeshwa  nchini  mwao...
Taarifa  zinadai  kwamba, Raia  hao  hawahusiki  na  mlipuko wa bomu  hilo.Kilichotokea  ni  kwamba, siku ya tukio walikuwa  karibu na  eneo la kanisa  na  ndo  maana walikamatwa...
Raia hao  wameachiwa  kwa ushirikiano  mkubwa  wa  ubalozi  wa UAE na Tanzania
Unaweza  kutembelea  hii  link kwa  ripoti  kamili: 
<< Tanzania frees 3 Emiratis held after bombing: Report>>

Posted by Bigie on 4:54 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.