MBUNGE WA MBEYA AMTUKANA WAZIRI MKUU NA KUDAI KUWA "TANZANIA HAIJAWAHI KUWA NA WAZIRI MKUU MPUMBAVU KAMA ....."


Katika  hali  yakushangaza , mbunge  wa  mbeya  mjini  kwa  tiketi  ya  CHADEMA, mh.  SUGU  ameporomosha  tusi  zito  kwa  waziri  mkuu  wa  tanzania  ( mh. PINDA )  akidai  kuwa  Tanzania  haijawahi  kuwa  na  waziri mkuu   mpumbavu  kama  yeye.....

Tusi  la  Sugu  limekuja  baada  ya waziri  mkuu  kuwaruhusu  rasimi  polisi  kutumia  nguvu  ya  ziada   kuwadhibiti  wananchi  kwa  kuwashushia  kichapo  ili  wazitii  sheria.....

Hili  ndo  tusi  la  mbuge  wa  mbeya  kwa  waziri  mkuu...



Posted by Bigie on 5:48 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.