MTU MMOJA AFARIKI KATIKA AJALI YA GARI....DEREVA ATIMUA MBIO


Mtu mmoja amefariki dunia na waengine kumi kujeruhiwa vibaya baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Toyota Hiace lilikuwa linatoka Arusha kwenda Karatu kupasuka gurudumu la nyuma na kupinduka katika kijiji cha Silonga wilayani Monduli.

Posted by Bigie on 10:47 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.