RAIS KIKWETE AWATAKA VIONGOZI WA DINI WAENDELEE KUHUBIRI AMANI, UPENDO NA MSHIKAMANO
Posted by Bigie
habari za kitaifa
12:40 PM
Rais Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa dini nchini kuendelea kuhubiri kuhusu amani upendo na mshikano na kuendelea kuwajenga vijana katika maadili mema ili taifa lisiangamie.
Rais kiwete ameyasema hayo Mkoani Morogoro katika Jubilee ya miaka 25 ya uaskofu wa Askofu Telesphori Mkude wa Kanisa Katoliki Jimbo la Morogoro ambapo amesema serikali itaendela kushirikiana na kanisa katoliki katika mambo mbalimbali kwa manufaa ya watanzania wote

Posted by Bigie
on 12:40 PM.
Filed under
habari za kitaifa
.
You can follow any responses to this entry through the
RSS 2.0