BLANDINA AWATAKA WASANII WAACHE KUOLEWA KWA KUKURUPUKA
habari za kitaifa 1:32 AM
MWIGIZAJI wa kike Witness Lunyungu ‘Brandina’ aliyetamba sana na filamu ya The Game na kuwa maarufu amewaasa wasanii wenzake wa filamu kutokimbilia kuolewa na wanaume wasiowapenda sana kwani ni rahisi kupoteza vipaji vyao sambamba na ajira ya uigizaji...
Blandina anadai kwamba hata yeye alikumbwa na kadhia hiyo baada ya kuolewa na mumewe ambaye alimpiga marufuku kabisa kuigiza na hivyo kumfanya "mother house".
“Kuolewa ni heshima lakini kama ni mwigizaji kabla ya kuolewa lazima uongee vizuri na mpenzi wako anayetaka kukuoa ....
"Ukikurupuka utajikuta umekuwa mama wa nyumbani na kushindwa kujinunulia vitu vyako muhimu ambavyo kama mwanamke unavihitaji, maisha ya sasa si ya kumtegemea mtu,”anasema Brandina.
Blandina anadai kwamba hata yeye alikumbwa na kadhia hiyo baada ya kuolewa na mumewe ambaye alimpiga marufuku kabisa kuigiza na hivyo kumfanya "mother house".
“Kuolewa ni heshima lakini kama ni mwigizaji kabla ya kuolewa lazima uongee vizuri na mpenzi wako anayetaka kukuoa ....
"Ukikurupuka utajikuta umekuwa mama wa nyumbani na kushindwa kujinunulia vitu vyako muhimu ambavyo kama mwanamke unavihitaji, maisha ya sasa si ya kumtegemea mtu,”anasema Brandina.






