VIDEO YA MTOTO WA MIAKA 14 ALIYEJIFUNGUA MAPACHA WATATU....


Kwa kawaida miaka 14 inafaa kuwa ndio unafurahia ujana na utoto wako.

 Lakini sivyo kwa msichana mmoja huko Bungoma, ambaye sasa ni mzazi, na si wa mtoto mmoja, bali watoto watatu, aliojifungua kwa pamoja. 

Msichana huyo mdogo anasema alipewa ujauzito huo na kijana wa umri wa miaka kumi na sita, na kama anavyiripoti Agnes Penda ni taarifa ambayo inaongeza tu idadi ya visa vya wasichana wadogo kupata uja uzito wa mapema na matokeo, kurudisha nyuma maendeleo ya watoto wa kike. 

Tazama  video  hapo  chini....

Posted by Bigie on 10:13 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.