Mahojiano ya Rais Kikwete na radio ya umoja wa mataifa, New York, marekani


Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho  Kikwete amesema kwa sehemu kubwa utekelezaji wa maendeleo ya millenia umefanikiwa nchini mwake licha ya kwamba yako malengo ambayo bado hayajafanikiwa mathalani usafi wa mazingira na kuanisha mipango iliyopo katika kuyatimiza. 

Katika mahojiano maaluma na Joseph Msami wa Idhaa ya Kiswahili ya radio ya Umoja wa Mataifa , Rais Kikwete amesema nchi zilizoendelea zimekuwa zikisita kutimiza lengo namba nane linalowataka watoe asilimia saba ya pato la taifa ambapo akitoa mfano kwa nchi kama Marekani amesema ni kiasi kikubwa na hivyo kutotomizwa jambo  hilo kwa ujumla linachelewesha utekelezaji wa malengo hayo.

Bofya  kitufe  cha  pleya  umsikilize  hapo  chini

Posted by Bigie on 9:47 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.