Millen Magese akiwa katika pozi la NUSU UCHI.


Anajiita, MODEL, au  MISS  TANZANIA.Ni  binti  wa  kibongo  maarufu  kwa  jina  la  Millen Magese  akiwa  katika  pozi  la  KICHUPI  style  lililoanzishwa  na  WAKOLONI  maarufu  kwa  jina  la  wazungu na  kupokelewa  kwa  mikono  miwili  na  baadhi  ya  mabinti  wa  kibongo  hasa  mastaa....

Kichupi  style  imekuwa  na  madhara  makubwa  sana  kwa  WANAUME  tangu  kuanzishwa  kwake..Moja  ya  madhara  hayo  ni  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME...

Miaka  ya  1960  ilikuwa  ukiliona  paja  la  mwanamke  ni  lazima  UINGIE  BAFUNI  kwanza.Leo  hii  mapaja, matiti, matumbo  na  nyeti  za  akina  dada  hazina  thamani  tena  mbele  ya  jicho  la  mwanaume....

Bofya  hapo  chini  ujionee


Bofya  hapo  juu   ujionee  kichupi  style, by  millen magese.


Posted by Bigie on 4:53 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.