Jinsi ya kupata Mimba kwa kutumia nguvu za giza (Mitishamba )


Kabla  ya  ujio  wa  wakoloni, babu  zetu  walikuwa  wakiabudu  miungu  yao.Hakukuwa  na  dini  wala  tiba  za  kisasa.

Kwa  kuwa  IMANI  huponya, ni  ukweli  usiopingika  kwamba  maombi  yao  na  tiba  zao  za  asili  ziliwasaidia  sana katika  kutimiza  shughuli  zao  za  maisha  ya  kila  siku.

Yafuatayo  ni  mambo  machache  ambayo  yalikuwa  yakipatiwa  ufumbuzi  kwa  nguvu  za  giza.

1. Kupendwa  na  mpenzi  wako.
-Ili  upendwe  na  mpenzi  wako, unachotakiwa  kufanya  ni  kuweka  mbegu  kavu  za  nyanya  kwenye  kitambaa  kidogo  chekundu  au  rangi  ya  damu  ya  mzee  na  uwe  unaibeba  kila  siku  unapokutana  nae  au  unaweza  kuiweka  kwenye  pochi  yake  kila  unapokwenda  kwake.

2:Kujua  siri  zilizojificha  za  mpenzi  wako.

Kama   una  mpenzi  au  mtu  ambaye  anakuficha  jambo  na  unataka  kulijua,chukua  viazi  tisa,kata  katika  shepu  ya  pembe  tatu  kisha  weka  chini  ya  kitanda  chako  kwa  wiki  moja, siri  zake  utazigundua  ama  kwa  kuambiwa  na  kuoana  au  yeye  mwenyewe  atakwambia  bila  kujijua .

3.Kupata  ujauzito.
Ili  kupata  mbegu  zitakazo sababisha  mwanamke  upate  ujauzito,weka  vipande  vitatu  vya  mizizi  ya  mihogo  chini  ya  kitanda  kila  siku.

Kwa  upande  wa  mwanamke, ili  ufanikiwe  kumpa  ujauzito  mwanamke,kunywa  juisi  ya  karoti  kila  siku  huku  mawazo  yako  yote  yakifikilia  suala  hilo.

--Mandai, Uwazi

Posted by Bigie on 11:03 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.