DR. KIKWETE AAGANA NA BALOZI WA UTURUKI NA KUFANYA MAZUNGUMGUMZO MAFUPI NA MWAKILISHI WA BENKI YA MAENDELEO AFRIKA

Rais Kikwete akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Uturuki aliyemaliza kufanya kazi nchini Dr. Sander Gurbuz aliyekwenda kumuaga jana Jumanne Desemba 13, 2011 Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Kikwete akiwa na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bi. Tonia Kandiero aliyemtembelea  jana Jumanne Desemba 13, 2011 na kufanya mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam.

Posted by Bigie on 9:09 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.