KAMPUNI YA COCA COLA YAFANYA UZINDUZI WA JUISI MPYA

Meneja Mkazi wa Coca-Cola Tanzania Dimeji Olaniyan (kushoto) akigongeana glasi na Meneja Mkuu wa Mauzo wa Bonite Bottlers Christopher Loiruk wakati wa uzinduzi rasmi wa Juisi ya Minute Maid inayozalishwa na kampuni hiyo. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.
Meneja Mkazi wa Coca-Cola Tanzania Dimeji Olaniyan (kushoto) akigongeana glasi na Meneja Mkuu wa Mauzo wa Bonite Bottlers Christopher Loiruk (kushoto) na katikati ni Meneja Masoko wa Coca-Cola Tanzania Salome Mabirizi wakati wa uzinduzi rasmi wa Juisi ya Minute Maid inayozalishwa na kampuni hiyo. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.

Posted by Bigie on 9:13 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.