KIKWETE ATEMBELEA MAONESHO YA MIAKA 50 YA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM


 Rais Jakaya Kikwete akipokea zawadi ya mfuko wa kubebea makabrasha toka kwa afisa kwenye banda la ofisi ya Rais wakati alipotembelea maonesho ya miaka 50 ya Uhuru jana jumapili  kwenye viwanja vya maonesho vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa Road jijjini Dar
 Rais Kikwete akipata maelezo juu ya bustani ya wanyama pori iliyopo Ikulu
 Rais Kikwete akisikiliza maelezo juu ya jengo la Ikulu
 Rais Kikwete akiangalia waraka rasmi wa kutoka kwa Malkia Elizabeth II wa Uingereza wa kutoa Uhuru kamili kwa Tanganyika miaka 50 iliyopita
 Rais Kikwete akiangalia picha ta Baraza la Kwanza la Mawaziri bandani hapo
 Rais Kikwete akiangalia mapicha ya kumbukumbu
 Rais Kikwete akisalimiana na mmoja wa wafanyakazi wa TASAF

Wadau katika banda la Ofisi ya Rais wakimsubiri mgeni.

Posted by Bigie on 5:59 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.