MAZISHI YA MR.EBBO (MATUKIO KATIKA PICHA)



Mwili wa marehemu, Mr Ebbo ukiwa katika jeneza tayari kwa kwenda kuzikwa katika nyumba yake ya milele.

Mke wa marehemu akiwa ameshikiliwa mara baada ya kuuaga mwili wa mumewe.

Wazazi wa marehemu kutoka kulia ni baba yake na mama yake.


Baadhi ya ndugu na majirani wakiuaga mwili wa marehemu, Arusha siku ya jana .

Posted by Bigie on 9:44 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.