KATIBU MKUU WA CHAMA TAWALA NCHINI (CCM) AKUTANA NA RAIS WA FES NCHINI UJERUMANI


Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Wilson C. Mukama, wakiwa na Mh. Christoph Stasser (MP), Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge la Ujerumani kusiana na Afrika. Anaesikiliza kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa FES Tanzania Dr. Stefan Chrobot. Mazungumzo haya yalifanyika wakati Mkutano mkuu wa SPD ukiendelea.
Katibu Mkuu wa CCM Mh. Wilson C. Mukama, akikaribishwa Makao Makuu ya FES (FREDRICH ELBERT STIFTUNG) na Rais wa FES Ndugu Peter Struck. Mukama yupo Berlin Ujerumani kuhudhuria Mkutano Mkuu wa SPD.
Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Wilson C. Mukama, akiwa katika mazungumzo na Rais wa FES Ndugu Peter Struck Duniani. Katikati ni Mkurugenzi Mkazi wa FES Tanzania Dr. Stefan Chrobot. Mukama yupo Berlini Ujerumani kwa mwaliko wa Chama Cha SPD cha nchini humo.

Posted by Bigie on 5:05 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.