MBOWE AZINDUA TAASISI YA KUSIMAMIA MPANGO WA MAENDELEO YA WILAYA YA HAI
JAMII 2:00 AM
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa jimbo la Hai,mh Freeman Mbowe akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Taasisi ya Kusimamia Mpango wa Maendeleo ya Wilaya ya Hai ( HAKIDI).
Mbunge wa jimbo la Hai mh Freeman Mbowe akiongoza wabunge wenzake Leticia Nyerere mbunge wa viti maalum Mwanza na Joseph Mbilinyi ,mbunge wa jimbo la Mbeya mjini kupandisha bendera katika ofisi ya taasisi ya kusimamia mpango wa maendeleo ya wilaya ya Hai.
Mbunge wa jimbo la Hai mh Freeman Mbowe akimwagia maji moja kati ya miti 2000 iliyooteshwa katika jimbo hilo.
