DAVINA AKERWA NA MICHIRIZI ILIYOKO MAPAJANI MWAKE


MSANII za wa filamu Bongo, Halima Yahya Mpinge ‘Davina’ anakerwa na michirizi aliyonayo mapajani na kumfanya ashindwe kuvaa nguo fupi kama wavaavyo wasanii wenzake.

Akizungumza na mpekuzi wetu juzikati  jijini Dar, Davina alisema ili kuificha michirizi hiyo analazimika kuvaa nguo ndefu licha ya kwamba hapendi.

“Natamani sana kuvaa nguo fupi kama wasichana wenzangu lakini siwezi kutokana na michirizi niliyonayo mapajani. Nikilazimisha kuvaa nguo fupi huwa naonekana kama kituko kila ninapopita,” alisema Davina.

Posted by Bigie on 11:38 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.