RIHANNA AKUTWA AKIVUTA BANGI....


 Picha hizi zilizodakwa mtandaoni zinamuonesha RIHANNA akivuta kile kinachosadikiwa kuwa ni BANGI katika ufukwe wa HAWAIIAN.

Tukio hili  lenye utata limejiri siku chache zilizopita  ikiwa zimebaki wiki kadhaa tu kabla ya ujio wa video yake mpya iitwayo "TALK THAT THAT" aliyomshirikisha  JAY Z

Chanzo kimoja cha habari kililiambia shirika la NATIONAL  ENQUIRER  kuwa  "Hivi sasa Rihanaa yupo katika ukingo wa  mwisho wa anga za mziki........Amekuwa na matukio  ya ajabu kwa takribani mwaka sasa  na hivi sasa yupo katika hat hati  ya kuanguka kabisa kimziki."

Posted by Bigie on 7:50 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.