DR. KIKWETE AONGOZA MAMIA KATIKA MAZISHI YA REGIA MTEMA MJINI IFAKARA JANA (PICHA ZA TUKIO ZIMA LA MAZISHI)


Rais Jakaya Kikwete akijiandaa kuweka shada la Maua kaburini wakati wa mazishi ya Marehemu Regia Mtema aliyoongoza mjini Ifakara mkoani Morogoro jana.
 Rais Jakaya Kikwete akiweka shada la maua kwenye kaburi la Marehemu Regia Mtema ambaye alikuwa Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Jimbo la Morogoro aliefariki kwa ajali ya gari maeneo ya Ruvu mkoani Pwani hivi karibuni .Rais Kikwete ameongoza mamia ya Waombolezaji wa mji wa Ifakara kwenye mazishi hayo leo ambapo pia viongozi mbali mbali walishiriki.
Rais Jakaya Kikwete akiweka udongo kwenye kaburi la Marehemu Regia Mtema aliezikwa leo Ifakara Mkoani Morogoro.
Rais Jakaya Kikwete akiwa kwenye mazishi ya Marehemu Regia Mtema yaliyofanyika Ifakara leo.Wengine pichani ni Spika wa Bunge,Mh. Anne Makinda (pili kulia),Naibu Spika wa Bunge,Mh. Job Ndugai (kulia),Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,Mh. Joel Bendera (pili kushoto) pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni,Mh. Freeman Mbowe, na kulia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mh Zitto Kabwe.



                           Viongozi wa CHADEMA

                              Wazazi wa marehemu

Wazazi wa Marehemu wakiweka udongo kaburini
 Baadhi ya waombolezaji wakiwa kwenye mazishi ya Marehemu Regia Mtema mjini Ifakara

 Baadhi ya wabunge toka vyama mbalimbali wakiwa mazishini 
 Vijana wa ulinzi wa CHADEMA wakithibiti umati wa waombolezaji
 Umati wa waombolezaji makaburini 
 Mwili wa marehemu ukiwasili makaburini
 Vilio na majonzi
 Pacha wa marehemu akibembelezwa
 Kwaya ikiimba mapambio 

 Wabunge wa vyama mbalimbali wakisubiri mwili uwasili kwa mazishi
 Vijana wa ulinzi 
 Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe akiwasili
 Jeneza lenye mwili wa marehemu likishushwa makaburini
 Rais Kikwete akiongea na Spika Anne Makinda. Pembeni yao ni Naibu Spika Job Ndugai na Mh Hawa Ghasia
 Mdogo wa marehemu
 Wanahabari wakirekodi tukio hilo

 Salamu za Shukrani toka kwa msemaji wa familia 

 Ibada ya mazishi ikiendelea

 Spika Anne Makinda akiweka udongo kaburini
 Naibu Spika akiweka udongo kaburini
 Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe akiweka udongo kaburini
 Sehemu ya waombolezaji
Karibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa akijiandaa kuweka shada ya maua kaburini


Posted by Bigie on 7:19 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.