JAMBO LEO LATIMIZA MIAKA MITATU
Posted by Bigie
habari za kitaifa
9:03 AM
Wafanyakazi wa Kampuni ya Jambo Concepts Tanzania Limited, inayochapisha gazeti la Jambo Leo, wakiwa na na nakala ya kwanza ya gazeti hilo iliyotolewa Juni 4, 2009, kwa kichwa cha habari cha "CCM waumizana urais 2015" ambacho mpaka sasa kinatawala kwenye vyombo vya habari nchini. Picha hii ilipigwa jana kwenye chumba cha habari cha gazeti hilo jijini Dar es Salaam. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Posted by Bigie
on 9:03 AM.
Filed under
habari za kitaifa
.
You can follow any responses to this entry through the
RSS 2.0