Taswira Mbalimbali Za Sebastian Ndege na Justice Ndege Walivyopeleka Moto Wa Skylight Parties Mafian Lounge
habari za kitaifa 9:00 AM
Msanii wa Machozi Bendi, Sam Machozi akitoa burudani pamoja na Bendi ya SkyLight.
Kutoka Kulia ni Kiongozi wa Bendi ya SkyLight, Aneth Kushaba, Mgeni aliyealikwa Sam Machozi pamoja na Mwanadada.
Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha CCM, Vicky Kamata (mbele mwenye gauni nyekundu) akilishakata rumba na rafiki yake..
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi (kati) akiwa na mkurugenzi wa Ndege Insurance Bw. Sebastian Ndege(Kushoto) wakijiachia na SkyLight Bendi
Justice Ndege(Wa Pili kushoto)akiwa na Wadau
Wadau Mbalimbali