MAALUM KWA WATEJA WA TWIGA BANCORP

  Twiga bancorp limited inaendelea na mkakati wa kurekebisha kumbukumbu za wateja wetu kwa mujibu wa maelekezo ya Benki Kuu, ili kuweza kutoa huduma iliyo bora zaidi.

Usikiapo taarifa hii, tafadhali nenda tawi lolote la  Twiga lililopo karibu nawe muone meneja wa tawi ukiwa na kitambulisho cha account yako.

Mwisho wa zoezi hili ni tarehe 30 Julai, 2012.
Kwa kurahisisha zoezi hili wasiliana nasi kwa Simu zifuatazo

1.    022 211 5575 au
2.    0767 310 348 au

Fax   022 211350

Twiga bancorp, Huduma bora ndiyo fahari yetu

Posted by Bigie on 9:44 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.