KARIBU KWENYE PARTY YA KUZALIWA FLORA MBASHA

"Waungwana Leo ni siku yangu ya kuzaliwa, tar 1 June, namshukuru Mungu kwa ulinzi wake nampa sifa na utukufu kwani naamini sikuzaliwa kwa bahati mbaya, bali kwa makusudi ya Mungu. Nawakaribisha wote kwenye party yangu itakayofanyika hapa Maryland siku ya jumamosi. Mungu awabariki kwa maombi yenu. Amen."
Mwimbaji maarufu wa muziki wa Injili Afrika Mashariki Flora Mbasha akiwa na mumewe.

Flora akipokea busu toka kwa Sister P.

Furahia utamu wake....

Kata kipande kizuri...

Blog hii inakutakia kila la kheri katika shughuli zako za utumishi. 
Mungu akubariki..

Posted by Bigie on 9:52 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.