MAMLAKA YA HIFADHI YA NGORONGORO YATANGAZA HUDUMA MPYA YA UKUSANYAJI WA MADUHUHULI YA SERIKALI

Kaimu Muhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro Bwana Shaddy Kyambie akitambulisha kwa wahandishi wa Habari (hawapo pichani)  huduma mpya ya ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali katika hifadhi ya Ngorongoro kwa njia ya mtandao ijulikanayo kama Smart Card kushoto ni Afisa Habari Mkuu Bwana Mwirabi Sise na kulia kwake ni Meneja Uhusiano wa Mamlaka hiyo Bwana Adam Akyoo.(Picha na Benjamin Sawe).

Posted by Bigie on 8:07 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.