MHESHIMIWA SUGU AKIFANYA MAKAMUZI NDANI YA DAR LIVE
habari za kitaifa 10:35 AM
Mbunge wa jimbo la Mbeya Mjini, Mhe. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu akifanya makamuzi ndani ya Dar Live wakati wa Tamasha la Usiku wa Sugu lililofanyika Jumapili Juni 3, 2012.
