MWANAMUZIKI-LINAH ATUA BONGO

 Mjengo anoaishi mwanamuziki wa kizazi kipya Linah ambae ametua Bongo tayari baada ya kumaliza US TAMANI TOUR.
 Mwanamuziki wa kiazazi kipya akiwa ndani ya mjengo anaoishi jijini Dar Es Salaam.
 Linah ( wapili toka kulia) akiwa na mdogo wake wa kike, Mama Mzazi na kaka yake walipofika kumlaki Julius Nyerere International Airport, Dar Es Salaam.
 Linah (kushoto) akipata picha ya pamoja na Mama yake mzazi na mdogo wake wa kike
 Picha juu na chini ni Linah akipata ukodak moment mara alipowasili Julius Nyerere International Airport, Dar Es Salaam.
Linah akipata Ukodak Moment na rafiki yake mkubwa Lulu.

Posted by Bigie on 8:06 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.