NANI KUVIKWA TAJI LA MISS NYAMAGANA LEO?

 Aisha

 Amina

 Brenda

 Cecy

 Happy Daniel

 Happy

 Lilove

 Maurine

 Mercy

 Pendo

 Roswita

Whitney

SURA HIZI ZINAPANDA JUKWAANI IJUMAA YAANI LEO USIKU, ILI KUMPATA MISS NYAMAGANA 2012.
 NI KATIKA UKUMBI WA GOLD CREST JIJINI MWANZA. 
WAANDAAJI NI STOPPERS ENTERTAINMENT.
BURUDANI ITATOLEWA NA LINAH, DITTO NA HAFSA KAZINJA.
MSHEHERESHAJI MKUU AU MC WA SHUGHULI NZIMA NI MASANJA MKANDAMIZAJI KUTOKA KUNDI LA ORIJINO KOMEDI.

Posted by Bigie on 9:56 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0
.

Featured Post

NEC ya ahirisha uandikishaji kwa BVR mikoa 4 nchini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji kwa BVR katika mikoa minne  ambayo ni  Arusha, Kilimanjaro, Manyara pamoja ...

2010 BlogNews Magazine. All Rights Reserved. - Provided by Free Blogger template.